Back to home
Idara ya mahakama nchini yazindua ripoti yake ya mwaka
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 3, 2026
1h ago
Idara ya mahakama nchini inasema mrundiko wa kesi, upungufu wa fedha, uhaba wa maafisa wa mahakama pamoja na miundombinu isiyotosheleza vinaendelea kuwa miongoni mwa vikwazo vikuu vinavyochelewesha utoaji wa haki.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today a
Advertisement
Advertisement





