Back to home

Junior Starlets yakamilisha maandalizi Pretoria

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 3, 2026
1h ago
Timu ya taifa ya kandanda ya wasichana walio na chini ya miaka 17, Junior Starlets, imefanya mazoezi yake ya mwisho leo katika Uwanja wa Lucas Moripe jijini Pretoria, Afrika Kusini, kuelekea kwenye mchuano dhidi ya wenyeji, Bantwana wa Afrika Kusini.
Advertisement