Back to home
Wakenya 60 zaidi warejea kutoka Afrika Kusini
video
C
Citizen TV (Youtube)July 4, 2026
1h ago
Wakenya wengine 60 waliokuwa wakitoroka machafuko nchini Afrika Kusini walitua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jana usiku, na kufikisha idadi ya waliorejeshwa nchini hadi 240. Wengi wao wamerejea mikono mitupu huku wengine wakiacha familia zao nchini humo kuf
Advertisement
Advertisement





