Back to home
Ukame waharibu mazao Trans Nzoia
video
C
Citizen TV (Youtube)July 4, 2026
2h ago
Wakulima katika Kaunti ya Trans Nzoia wanakadiria hasara kubwa baada ya mazao yao kuharibikia shambani kutokana na ukosefu wa mvua. Kwa mujibu wa wizara ya kilimo, zaidi ya ekari 50,000 za mazao zimeharibikia shambani kaunti hiyo, hali ambayo inatilia shaka uzalishaji wa kutosha
Advertisement
Advertisement





