Back to home
Wafuasi wa Linda Mwananchi washambuliwa na wahuni wakielekea Keroka
video
C
Citizen TV (Youtube)July 4, 2026
2h ago
Wafuasi wa kundi la Linda Mwananchi walijeruhiwa baada ya wahuni kuvamia msafara wao Ijumaa jioni walipokuwa wakielekea Keroka kutoka Kisii. Miongoni mwa waliokumbwa na shambulio hilo ni kinara wa chama cha United Green Movement, David Maraga, ambaye gari lake lilikuwa miongoni m
Advertisement
Advertisement





