Back to home

Waathiriwa wa maandamano walalamikia kutengwa kwenye fidia

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 4, 2026
1mo ago
Baadhi ya waathiriwa wa maandamano ya mwaka 2024 na 2025 wamejitokeza kulalamikia kutengwa katika mchakato wa kufidiwa. Waathiriwa hao wanasema hawakuorodheshwa kupokea fidia licha ya kudhulumiwa na polisi. Baadhi yao, ambao ni miongoni mwa waliotekwa nyara, wanasema licha ya kuj
Advertisement