Back to home
Polisi wachunguza kifo baada ya vurugu Kisii
video
C
Citizen TV (Youtube)July 5, 2026
1h ago
Polisi wanachunguza kisa ambapo mwanaume mmoja amefariki baada ya kundi la wahuni kuvamia msafara wa mrengo wa Linda Mwananchi katika eneo la Keumbu, Kaunti ya Kisii. Kijana huyo wa miaka 36, Vincent Osiemo, alianguka kutoka kwenye gari moja la mwanasiasa alimokuwa ndani baada ya
Advertisement
Advertisement



