Back to home
IPOA inachunguza madai ya polisi kutumia nguvu kupita kiasi kwa wanafunzi wa MMU
video
C
Citizen TV (Youtube)June 10, 2026
2h ago
Jioni ya leo maafisa wa usalama wako tena kwenye darubini kwa madai ya kutumia nguvu kupita kiasi wakati wa maandamano ya wanafunzi wa Multimedia University of Kenya hapa Nairobi. Independent Policing Oversight Authority sasa inasema inachunguza matukio haya ya mapema juma hili,
Advertisement
Advertisement





