Back to home
Wizara ya elimu yapanga mikakati ya kubadili kalenda ya masomo
video
C
Citizen TV (Youtube)June 10, 2026
2h ago
Wizara ya Elimu imetangaza mipango ya kufanya marekebisho kwenye kalenda ya masomo kuanzia mwaka ujao. Waziri wa Elimu Migos Ogamba, akijibu tetesi kuwa muhula wa pili ni mrefu zaidi, amesema kuwa wanafunzi wamelalamikia kuchoshwa na hivyo mara nyingine kusababisha migomo shuleni
Advertisement
Advertisement





