Back to home
Familia Kajiado yataka mzozo wa ardhi wa miaka minne utatuliwe
video
C
Citizen TV (Youtube)July 6, 2026
1d ago
Familia moja kutoka eneo la Nkama huko Oloitokitok katika kaunti ya Kajiado inaitaka Wizara ya Ardhi ya kaunti hiyo pamoja na Idara ya Ardhi ya Serikali Kuu kutatua mzozo wa ardhi yao uliodumu kwa zaidi ya miaka minne.
Advertisement
Advertisement





