Back to home

Viongozi wa kike kutoka bonde la ufa wataka shule ziache kuzuia vyeti vya wanafunzi shuleni

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 7, 2026
4h ago
Baadhi ya viongozi wa kike kutoka bonde la ufa miongoni mwao wake wa magavana wasisitiza umuhimu wa kuwapa watoto wa shule haswa wasichana vyeti vya kumaliza shule katika kidato cha nne licha ya kuwa na masalio ya karo.
Advertisement