Back to home

Viongozi wa dini wataka suluhu ya utovu wa nidhamu shuleni

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 10, 2026
2h ago
Viongozi wa kidini nchini wameendelea kushinikiza suluhu ya kudumu kwa visa vya utovu wa nidhamu shuleni. Makanisa mbalimbali kaunti ya Kisii yakijumuika kwa ibada maalum ya kuliombea taifa pia wakiwataka wanasiasa kukomesha siasa zinazozidisha joto la kisiasa nchini
Advertisement