Back to home
Kesi ya mauaji ya mfanyabiashara Lukenya yachukua mkondo mpya
video
C
Citizen TV (Youtube)July 8, 2026
1h ago
Kesi ya mauaji ya mfanyabiashara Jayeshkumar Kanji Velji, aliyeuawa kikatili katika eneo la Lukenya mwaka 2024, imechukua mkondo mpya baada ya mshukiwa mmoja kuamua kushirikiana na upande wa mashtaka kwa kutaka kugeuzwa shahidi wa serikali.
Shahidi huyo, ambaye ni mwendesha boda
Advertisement
Advertisement





