Back to home
Wanjigi ataka uongozi unaoheshimu Katiba na sheria
video
C
Citizen TV (Youtube)July 8, 2026
1h ago
Kinara wa chama cha Safina, Jimi Wanjigi, ametaka uongozi ujao kuheshimu sheria na Katiba, huku ukitoa kipaumbele kwa sera zitakazowawezesha wananchi kujiimarisha kiuchumi.
Akizungumza katika mkutano na viongozi wa mashinani jijini Nakuru, Wanjigi amesema taifa linahitaji mabadi
Advertisement
Advertisement





