Back to home
Viongozi wa dini Kajiado wamekemea uvamizi kanisani
video
C
Citizen TV (Youtube)July 9, 2026
1h ago
Viongozi wa kidini kutoka Kaunti ya Kajiado wamekemea ongezeko la uvamizi na vurugu kanisani, wakisema linatishia uhuru wa kuabudu, amani na Utangamano wa kitaifa. Viongozi hao Wamesisitiza kuwa maeneo ya ibada yanapaswa kulindwa wakati wote na kuzitaka idara za usalama kuwafikis
Advertisement
Advertisement




