Back to home
Viongozi wanawakekutoka kaunti ya Homa bay walalamikia uhuni katika siasa
video
C
Citizen TV (Youtube)July 10, 2026
3h ago
Baadhi ya viongozi wanawake kutoka kaunti ya Homa bay waelezea hofu yao kutokana na misururu ya ghasia za wahuni kwenye mikutano ya siasa. Hali hii wasema itaathiri pakubwa azimio la wanawake wengi wanaotaka kuwania viti mbalimbali vya uongozi.
Advertisement
Advertisement





