Back to home
Polisi wachunguza video ya dereva wa gari la kibinafsi akisukuma gari dogo la teksi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 11, 2026
2h ago
Polisi jijini Nairobi wameanza uchunguzi kuhusu tukio ambalo dereva wa gari kubwa la kibinafsi alinaswa kwenye video akisukuma gari dogo la teksi katika eneo la Lavington.
Video hiyo iliyosambaa mitandaoni imezua hisia kali kutoka kwa wananchi, huku polisi wakisema uchunguzi una
Advertisement
Advertisement


