Back to home

Junior Starlets yasalia dakika 90 kufuzu Kombe la Dunia

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 11, 2026
2h ago
Junior Starlets ya Kenya imesalia na dakika 90 pekee kujihakikishia nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia la wasichana wasiozidi miaka 17 kwa mara ya pili. Timu hiyo ilifanya mazoezi mepesi leo kuelekea mechi ya mkondo wa pili dhidi ya Bantwana ya Afrika Kusini kesho, huku ikisaka
Advertisement