Back to home
Mahakama yasimamisha kwa muda faini ya Gikaria
video
C
Citizen TV (Youtube)July 15, 2026
3h ago
Mahakama Kuu imesimamisha kwa muda amri ya tume ya uchaguzi IEBC iliyomtaka mbunge wa Nakuru Town East David Gikaria kulipa faini ya shilingi milioni mbili unusu kwa kuwahonga wapiga kura eneo bunge la Ol Kalou. Aidha, mbunge huyo bado hajaomba msamaha licha ya kupewa siku mbili
Advertisement
Advertisement




