Back to home

Gachagua akosoa ulinzi wa uchaguzi wa Ol Kalou

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 15, 2026
3h ago
Kinara wa Democracy for the Citizens Party, Rigathi Gachagua, ameendelea kukosoa idadi ya maafisa wa usalama waliotumwa kusimamia uchaguzi mdogo wa hapo kesho katika eneo bunge la Ol Kalou. Gachagua amempa changamoto Rais William Ruto kutotumia vyombo vya usalama kuathiri uchagu
Advertisement