Back to home

Mpigapicha Allans Ademba akamatwa Ol Kalou huku uchaguzi ukiendelea kwa utulivu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 16, 2026
1h ago
Mpigapicha Allans Ademba ambaye anajulikana kwa kampeni yake ya "NIKO KADI" amekamatwa na maafisa w apolisi huko Ol Kalou. Haijulikani amekamatwa kwa makosa gani kwani awali alikuwa akiangazia jinsi mambo yalivyokuwa yakiendelea katika vituo vya kupigia kura. Licha ya hayo, hali
Advertisement