Back to home

Ujio wa Sifuna wakoroga hesabu za wanaunga mkono serikali ya Kenya Kwanza Magharibi

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 18, 2026
3h ago
Siasa za uongozi wa jamii ya ukanda wa Magharibi zinaendelea kushika kasi, huku wanasiasa wazoefu na vijana sasa wakikabana koo. Ujio wa seneta wa Nairobi Edwin Sifuna unaonekana kukoroga hesabu za wanaunga mkono serikali ya Kenya Kwanza, wasijue iwapo Sifuna atawapokonya tonge m
Advertisement