Back to home
Wakenya waliorejeshwa nchini kutoka Afrika Kusini waeleza changamoto wanazopitia
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 21, 2026
3h ago
Ni takribani wiki mbili tu tangu kundi la mwisho la zaidi ya Wakenya 400 waliorejeshwa nchini kutoka Afrika Kusini kufuatia mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni litue nchini. Lakini kwa wengi wao, kurejea nyumbani hakujamaliza mateso yao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for
Advertisement
Advertisement




