Back to home
Walimu wa KUPPET waandamana kulaani mauaji ya walimu wawili Kitui Mashariki
video
C
Citizen TV (Youtube)July 22, 2026
1h ago
Walimu wa shule za sekondari chini ya Muungano wa Walimu wa Shule za Sekondari (KUPPET) wameandamana katika eneo la Mutitu, Kaunti ndogo ya Kitui Mashariki, kulaani mauaji ya walimu wawili waliouawa katika matukio tofauti yanayodaiwa kuhusishwa na wapenzi wao.
Advertisement
Advertisement




