Back to home
Kindiki aonya wanaofadhili makundi ya wahuni
video
C
Citizen TV (Youtube)July 22, 2026
1h ago
Naibu Rais Kithure Kindiki ameonya kuwa serikali itachukua hatua kali dhidi ya wanasiasa na watu binafsi wanaofadhili makundi ya wahuni kuvuruga amani na usalama nchini.
Advertisement
Advertisement





