Back to home
Gavana wa kaunti ya Machakos Wavinya Ndeti akemea vurugu za wahuni
video
C
Citizen TV (Youtube)July 24, 2026
2h ago
Gavana wa kaunti ya Machakos Wavinya Ndeti alaani kuongezeka kwa visa vya vurugu za kisiasa , akionya kuwa hali hiyo yatishia amani, demokrasia na uchumi wa nchi.
Advertisement
Advertisement




