Back to home
Jamii ya Fai yamtangaza Dkt. Hassan Fuje kuwa mgombea wa ugavana Wajir 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)July 27, 2026
1h ago
Demokrasia ya maafikiano imeanza kushika kasi katika Kaunti ya Wajir baada ya jamii ndogo ya Fai ya Jamii ya Dagodia kumteua Dkt. Hassan Mohamed Fuje kuwa mgombea wa ugavana katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.
Advertisement
Advertisement




