Back to home
NTSA na polisi wakamata zaidi ya watu 30 katika operesheni Mutindwa na Buruburu
video
C
Citizen TV (Youtube)July 27, 2026
2h ago
Mamlaka ya kitaifa ya uchukuzi na usalama barabarani (NTSA) kwa kushirikiana na huduma ya kitaifa ya polisi imewakamata watu zaidi ya thelathini wanaotembea kwa miguu katika maeneo ya mutindwa na buruburu.
Advertisement
Advertisement





