Back to home

Mahakama yaachilia washukiwa wanane waliokamatwa katika uvamizi wa kanisa Kisumu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 27, 2026
2h ago
Watu wanane waliokamatwa kwenye uvamizi wa kanisa la St. Stephens kaunti ya Kisumu wameachiliwa baada ya mahakama kutupilia mbali ombi la upande wa mashtaka la kuwazuilia.
Advertisement