Back to home

NCIC yaapa kuchukua hatua ya kisheria dhidi ya viongozi wanaohusika na matamshi ya chuki

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 28, 2026
2h ago
NCIC imeapa kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya viongozi watakaobainika kuhusika na matamshi ya chuki na uchochezi wa kikabila, ikisisitiza kuwa hakuna mwanasiasa aliye juu ya sheria. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Ke
Advertisement