Back to home
Polisi Baringo wamsaka mwanaume aliyemtunga mimba bintiye
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2026
2h ago
Mwanaume mmoja katika kijiji cha Kitibei kata ya Saimo, Baringo kaskazini anatuhumiwa kumtunga mimba binti yake na kukatiza masomo yake ya sekondari.
Advertisement
Advertisement




