Back to home
Polisi wavamia shamba la bangi la ekari 3 Mwingi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 15, 2026
2h ago
Polisi wamegundua shamba la bangi lenye ukubwa wa ekari tatu katika eneo la Mwingi, Kaunti ya Kitui. Bangi hiyo inakadiriwa kuwa na thamani ya takriban Sh60 milioni, huku mshukiwa wa biashara hiyo akitoroka.
Advertisement
Advertisement





