Back to home

Nairobi kuandaa Mashindano ya Riadha ya Dunia 2029

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 15, 2026
2h ago
Mashindano ya riadha ya dunia yataandaliwa Nairobi mwaka wa 2029 baada ya kenya kushinda zabuni ya ubingwa huo. Wakati akitoa tangazo hilo huko Budapest, Hungary, rais wa riadha duniani Sebastian Coe alisema nairobi ilitoa mazingira ya kipekee na mashabiki wa riadha wenye shauku
Advertisement