Back to home

Viongozi wanawake wataka hatua zaidi kukabiliana na ukatili wa kijinsia

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 30, 2026
1h ago
Viongozi wanawake nchini wanatoa wito wa hatua zaidi kuchukuliwa ili kukabiliana na ukatili wa kijinsia, wakihimiza uwezeshaji wa wanawake. wakizungumza hapa jijini nairobi, Wanasema mabadiliko ya kweli yanahitaji ushirikiano wa serikali, familia na jamii nzima .
Advertisement