Back to home
Wakazi wa Ngoswani wafunga barabara wakilalamikia hali mbovu ya barabara
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2026
1h ago
Wenyeji eneo la Ngoswani kwenye bara bara kuu ya Narok kwenda Sekenani walifunga barabara hiyo kwa zaidi ya saa sita wakisema hali yake mbovu inasababisha ajali nyingi.
Advertisement
Advertisement





