Back to home
Mamia ya wafuasi wajitokeza katika kaunti ya Mandera kumpokea mwanasiasa Alinoor Mohamed
video
C
Citizen TV (Youtube)July 31, 2026
1h ago
Mamia ya wafuasi wajitokeza katika mji wa Takaba kaunti ya Mandera kumpokea mwanasiasa Alinoor Mohamed, kabla ya kumuidhinishwa rasmi kuwania kiti cha ugavana kaunti hiyo.
Advertisement
Advertisement





