Back to home

Mamia ya wafuasi wajitokeza katika kaunti ya Mandera kumpokea mwanasiasa Alinoor Mohamed

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 31, 2026
1h ago
Mamia ya wafuasi wajitokeza katika mji wa Takaba kaunti ya Mandera kumpokea mwanasiasa Alinoor Mohamed, kabla ya kumuidhinishwa rasmi kuwania kiti cha ugavana kaunti hiyo.
Advertisement