Back to home

Watu 8 wajeruhiwa kwa mikuki Kericho katika mzozo wa mpaka wa ardhi

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 1, 2026
2h ago
Watu wanane wamejeruhiwa baada ya makundi hasimu yaliyodai umiliki wa shamba lenye ekari 1,200 katika eneo la Samburet Estate, mpakani mwa Kericho na Nakuru, kushambuliana kwa kulipizana kisasi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as tol
Advertisement