Back to home
Familia yalilia kurejeshwa kwa mwili wa jamaa aliyefariki Dubai
video
C
Citizen TV (Youtube)August 4, 2026
3h ago
Familia moja katika kijiji cha Ngonyek, Kaunti ya Trans Nzoia, inalilia haki baada ya mwana wao aliyesafiri kwenda Dubai kutafuta ajira kuaga dunia katika mazingira tata na baadaye kuzikwa huko. Familia hiyo sasa inaitaka serikali kuingilia kati ili kusaidia kufukuliwa na kurejes
Advertisement
Advertisement





