Back to home
Kijana atembea kilomita 500 kuhubiri amani kutoka mlima Elgon hadi Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 5, 2026
1h ago
Kijana mmoja Mwenye Umri wa miaka 23 kutoka kijiji cha Kaboywo huko Kaptama, eneo bunge la mlima Elgon, ameshangaza wengi baada ya kukamilisha safari ya Kilomita 500 akitembea kwa miguu Kutoka Kijiji chake hadi jijini Nairobi kuhubiri amani. Musa Korir alitumia siku nane kwenye s
Advertisement
Advertisement



