Back to home
Wakulima Taita Taveta wakumbatia kilimo cha alizeti kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 5, 2026
2h ago
Huku mabadiliko ya hali ya hewa yakiendelea kushuhudiwa nchini, wakulima kaunti ya Taita Taveta wameanza kukumbatia kilimo cha Alizeti ili kujikimu kimaisha.Kilimo hicho kimepata uungwaji mkono zaidi baada ya kubainika kuwa wanyamapori ,na hasa Ndovu, hawapendi mmea huo na hivyo
Advertisement
Advertisement



