Back to home
Jaji Mkuu Martha Koome atangaza kuanzishwa kwa tawi la mahakama ya rufaa Kakamega
video
C
Citizen TV (Youtube)August 6, 2026
2h ago
Jaji Mkuu Martha Koome atangaza kuanzishwa kwa tawi la mahakama ya rufaa Kakamega na mahakama ya madai madogo Mumias, ili kuboresha upatikanaji wa haki na kupunguza ucheleweshaji wa kesi.
Advertisement
Advertisement





