Back to home

Jaji Mkuu Martha Koome atangaza kuanzishwa kwa tawi la mahakama ya rufaa Kakamega

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 6, 2026
2h ago
Jaji Mkuu Martha Koome atangaza kuanzishwa kwa tawi la mahakama ya rufaa Kakamega na mahakama ya madai madogo Mumias, ili kuboresha upatikanaji wa haki na kupunguza ucheleweshaji wa kesi.
Advertisement