Back to home

Baraza la Magavana lataka wauguzi kurejea kazini

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 6, 2026
3h ago
Baraza la Magavana limewataka wauguzi waliogoma kurejea kazini huku mazungumzo ya kutafuta muafaka yakiendelea. Hata hivyo, agizo hilo limepuuzwa na chama cha wauguzi na wakunga nchini ambao wanasema katu hawatalegeza kamba hadi mkataba wa maelewano kutekelezwa, mazingira ya kazi
Advertisement