Back to home

Baraza la wazee wa Kalenjin lawataka vijana kukataa kutumiwa kuzua vurugu

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 27, 2026
2h ago
Baraza la Wazee wa Kalenjin limewataka vijana nchini kukataa kutumiwa na wanasiasa kuzua vurugu, huku uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 ukikaribia. Wakizungumza mjini Eldoret, wazee hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la wazee YA Kalenjin maarufu Myoot Council of Elders, Benjamin K
Advertisement