Back to home

Muheria awataka vijana kukataa kutumiwa kisiasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 22, 2026
2h ago
Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki jimbo la Nyeri Anthony Muheria amewataka vijana kukataa kutumiwa kuzua vurugu kwenye mikutano ya kisiasa na badala yake watumie nguvu zao kushinikiza mageuzi na uongozi bora. Akizungumza wakati wa matembezi ya kila mwaka ya vijana wa dhehebu hilo ka
Advertisement