Back to home
shule ya upili ya wasichana ya St. Joseph's Kitale yang'ara
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 7, 2026
5h ago
Katika fainali ya soka ya wasichana, shule ya upili ya wasichana ya St. Joseph's kitale walitawazwa mabingwa wa kitaifa baada ya kuwashinda wasichana wa shule ya upili ya Nyakach mabao 7 kwa 6 kupitia mikwaju ya penalti.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan new
Advertisement
Advertisement





