Back to home
Serikali imetakiwa kuchukua hatua dhidi ya mawakala wanaolaghai watu kwa ahadi za ajira nje ya nchi
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 11, 2026
9h ago
Serikali imehimizwa kuchukua hatua kali dhidi ya mawakala wanaowalaghai Wakenya kwa ahadi za ajira nje ya nchi, huku visa vya utapeli vikiongezeka na kuwaathiri vijana wanaotafuta ujuzi katika vyuo vya TVET.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and eve
Advertisement
Advertisement





