Back to home
Familia za Laikipia zadai haki kufuatia madai ya dhuluma ya jeshi la Uingereza
video
C
Citizen TV (Youtube)August 13, 2026
2h ago
Baadhi ya familia zilizo dhulumiwa na jeshi la wingereza katika eneo la laikipia sasa hivi wamefanya matembezi ya Amani katikati mwa jiji na kuona petition katika Bunge la kitaifa ambapo wanataka serikali ichukue hatua yakuhakikisha yakuwa watu wote walio dhulumiwa wanapata Haki
Advertisement
Advertisement





