Back to home
Watu watano wakamatwa kuhusiana na mauaji ya mwanasiasa Nathan Wasama
video
C
Citizen TV (Youtube)August 13, 2026
2h ago
Maafisa wa polisi wamewakamata watu watano kuhusiana na mauaji ya mwanasiasa Cheptais Mt Elgon Nathan Masai Wasama, aliyepigwa risasi na majangili eneo la Chaptais kaunti ya Bungoma Jumamosi usiku.Kwa mujibu wa polisi, washukiwa wawili walijisalimisha wenyewe
Advertisement
Advertisement





