Back to home
Mahakama ya Kibra yaamuru mshukiwa wa ubakaji azuiliwe
video
C
Citizen TV (Youtube)August 17, 2026
2h ago
Mahakama ya Kibra imeamuru kuzuiliwa kwa mshukiwa mwenye asili ya Marekani anayehusishwa na kisa cha kumteka nyara na kumdhulumu kingono msichana wa miaka 19.
Mshukiwa huyo anadaiwa kumhadaa mwanafunzi huyo wa mwaka wa pili wa Chuo Kikuu cha JKUAT hadi katika hoteli moja mtaani
Advertisement
Advertisement





