Back to home
Chama cha madaktari, KAP, kimekutana na wataalamu wa afya kujadili ongezeko la magonjwa sugu
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 18, 2026
34m ago
Chama cha Madaktari nchini, KAP, kimewakutanisha wataalamu wa afya jijini Nairobi kujadili ongezeko la magonjwa sugu ya moyo na kisukari, hasa katika mataifa yenye kipato cha chini na cha kati.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told
Advertisement
Advertisement





